Psalms 88:3-4


3 aKwa maana nafsi yangu imejaa taabu,
na maisha yangu yanakaribia kaburi.
Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.

4 cNimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,
niko kama mtu asiye na nguvu.
Copyright information for SwhNEN